Jeremiah 31:40

40 aBonde lote watupwapo maiti na majivu pia na matuta yote kutoka Bonde la Kidroni upande wa mashariki hadi pembe ya Lango la Farasi, itakuwa takatifu kwa Bwana. Kamwe mji huu hautang’olewa tena wala kubomolewa.”
Copyright information for SwhKC